Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

RFI kiswahili yapoteza mchambuzi wake wa siasa AMBOKA ANDERE

Imechapishwa:

Mtayarishaji wa makala hii, Jumamosi hii ameangazia masula mbalimbali, ikiwemo kifo cha mchambuzi wetu wa siasa  na mwandhsi wa habari wa siku nyingi wa nchini Kenya AMBOKA ANDERE, lakini pia ameangazia mkutano wa SADC uliomalizika juma hili Mjini Luanda Angola na bila kusahau utekelezwaji wa katiba mpya nchini Kenya.

Raisi Mwai Kibaki wa Kenya (katikati) akinyanyua katiba mpya baada ya kutisa saini mwaka jana
Raisi Mwai Kibaki wa Kenya (katikati) akinyanyua katiba mpya baada ya kutisa saini mwaka jana
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.