Wadau mbalimbali wa Muziki walimiminika maeneo ya ukumbi wa Trinity ambako kulikuwa na makamuzi ya Bongo Beat. Wasanii tofauti waliwaburudisha wapenzi waliokuwepo, Fid Q, Rage, Ras Mizizi, Mzungu Kichaa, Yvonne Mwale. Katika makala haya ambatana nasi kusikiliza wasanii hawa wanasema nini kuhusu Bongo Beat
Vipindi vingine
-
Muziki Ijumaa
Katika kipindi hiki mtangazaji wa zamu anakuchezea kibao unachokipenda kwenye redio kila siku ya Ijumaa.27/04/202410:04 -
Kwenye Makala ya Muziki hapa RFI tunakuchezea kibao unachokipenda
Florence Kiwuwa amekuchezea ombi lako kwenye makala ya wiki hii ya muziki Ijumaa.19/04/202410:40 -
Burudani ya Muziki na Jupiter Mayaka
Muziki hutoa hamasisho, elimu, burudani, husaidia kukumbuka mambo na pia huondoa msongo na kuboresha afya.18/11/202310:00 -
10:09
-
BURUDANI YA MUZIKI IJUMAA
Wiki hii Florence Kiwuwa amekuchezea muziki uliomuomba akucheze kwenye redio15/09/202310:03