Pata taarifa kuu

DRC: Changamoto za kupata elimu katika kambi ya wakimbizi ya Kanyaruchinya

Katika sehemu ya pili ya ripoti kuhusu changamoto zinazowakabili maelfu ya wakimbizi kwenye kambi ya Kanyaruchinya, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, mwandishi wetu Hillary Ingati alizuru kambi ya wakimbizi ya Kanyaruchinya anaangazia changamoto zinawakumba watoto. 

Mamia ya watoto kwenye kambi hii ya wakimbizi mjini Goma wameshindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya utovu wa usalama
Mamia ya watoto kwenye kambi hii ya wakimbizi mjini Goma wameshindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya utovu wa usalama © Hillary Ingati- FMM
Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.