Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Nani aliishambulia ndege ya abiria ya Malaysia ?

Imechapishwa:

Dunia bado inasubiri kufahamu kilichosababisha kuanguka kwa ndege ya abiria ya Malaysia  iliyoanguka juma lililopita na kusababisha vifo vya zaidi ya abiria 200.Ukraine imewatuhumu wapiganaji wanaoiunga mkono serikali ya Urusi kuiangusha ndege hiyo lakini hilo halijathibitishwa wakati huu uchunguzi wa Kimataifa ukiendelea.Lakini je, ni nani anayehusika na njama za kuiangusha ndege hiyo ?Tunajaribu kuchanganua suala hili tata, Emmanuel Makundi anazungumza na wachambuzi wa siasa za Kimataifa Brian Wanyama na Abdulkarim Atiki.

Mabaki ya ndege ya abiria ya Malaysia  MH17,iliyoangushwa katika eneo la  Donetsk  juma lililopita
Mabaki ya ndege ya abiria ya Malaysia MH17,iliyoangushwa katika eneo la Donetsk juma lililopita Reuters/Maxim Zmeyev
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.