Pata taarifa kuu
SYRIA

Zaidi ya watu 100 wauawa katika machafuko Syria

Takribani watu 100 huku theluthi mbili wakiwa ni raia wameuawa katika ghasia nchini Syria jumamosi wakati majeshi ya serikali yalipojibu mashambulizi,waangalizi wa haki za binadamu nchini humo wamethibitisha.

Raisi Bashar Al Assad,wa Syria ambaye utawala wake unapingwa vikali na raia nchini humo.
Raisi Bashar Al Assad,wa Syria ambaye utawala wake unapingwa vikali na raia nchini humo. todayszama
Matangazo ya kibiashara

Nalo shirika la kutetea haki za binadamu lenye makazi yake Uingereza limedai raia 65 wameuawa katika shambulizi la mabomu ikiwemo familia ya watu 6 huko Deir Ezzor,mashariki mwa Syria.

Taarifa ya shirika hili ilieleza kuwa Wanajeshi kumi na tisa wameuawa katika mapigano dhidi ya waasi ambayo waasi 3 walifariki huku vikosi 10 vikijisalimisha silaha walipojaribu kuwakabili majeshi yanayopinga serikali.
 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.