Pata taarifa kuu
Ulaya

Nick Clegg amshambulia Cameron

Naibu waziri mkuu nchini uingereza Nick Clegg amemshambulia waziri mkuu wa nchi hiyo David Cameron kufuatia kuitenga uingereza katika umoja wa ulaya kwa kura ya turufu ya mabadiliko ya mkataba wa EU.

Naibu waziri wa Uingereza Nick Clegg
Naibu waziri wa Uingereza Nick Clegg Reuters/D.Staples
Matangazo ya kibiashara

Vyanzo vya karibu na kiongozi huyo wa Liberal Democrat kilisema Nick Clegg haoni kushindikana kwa mazungumzo juu ya mgogoro wa  eurozone jambo ambalo lingesababisha ufanisi katika mpango wa   Uingereza.

Awali waziri Nick  Clegg alisema serikali ya umoja ilikuwa imeungana katika msimamo wake lakini vyanzo vya karibu naye vimethibitisha kwamba serikali haifikirii kama jambo hilo ni mpango mzuri kwa uingereza.

 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.