Pata taarifa kuu
Somalia

WFP yafaanikiwa kusafirisha misaada ya chakula ya dharura kuelekea Mogadishu

Hatimaye, Shirika la mpango wa Chakula Duniani WFP limefanikiwa kusafirisha tani kumi za misaada ya dharura, kuelekea mjini Mogadishu hapo jana, ili kuwasaidia maelfu ya watoto waliokumbwa na baa la njaa nchini Somalia.Β 

Un premier appareil du PAM a finalement rejoint Mogadiscio, le 27 juillet 2011.
Un premier appareil du PAM a finalement rejoint Mogadiscio, le 27 juillet 2011. Reuters/Feisal Omar
Matangazo ya kibiashara

Kufuatia ukame mkali ambao haujawahi kushuhudiwa kwa miaka sitini iliyopita, Somalia ni nchi katika pembe ya Afrika ambayo imeathirika zaidi ambapo takriban watu milioni kumi na mbili wako katika hatari kubwa.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.