Pata taarifa kuu
Syria

Hali nchini Syria yazidi kuzorota, watu 22 wameuawa

Takriban watu ishirini na wawili wameuawa mjini Hama nchini Syria walipukuwa katika juhudi za kuvamia mji huo kwa kuondoa vizuizi vilivyowekwa na wakazi wa mji huo baada ya maandamano makubwa shirika la kutetea haki za binaadam la nchini humo limethibitisha.

wananchi wakiwa katika maandamano
wananchi wakiwa katika maandamano Reuters
Matangazo ya kibiashara

Wakazi wengi wa mjini humo wameyakimbia makazi yao na kuelekea mini Al Salamiya na Damascus huku taarifa zikisema ku

wa vikosi hivyo vinaendelea na operesheni yao ya kutafuta,kuua na kuwakamata raia.
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadam,Amnesty International limeshutumu mamlaka ya nchini Syria kwa kukiuka haki za binaadam wakati wa maandamano yaliyofanywa na raia kupinga utawala wa rais wa nchi hiyo,Bashar Al Assad.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.