Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Marekani kukiuka haki za binadamu kwa kufanyisha kazi watoto. Sehemu ya Kwanza.

Imechapishwa:

Shirika la Kimataifa linalojihusisha kutetea haki za binadamu. Human Right Watch imetoa ripoti kuishutumu Marekani katika kukiuka haki za binadamu kwa kufanyisha kazi watoto kwenye mashamba ya tumbaku. Ajira kwa watoto ni ukiukwaji wa haki za binadamu.

REUTERS/Lucas Jackson
Matangazo ya kibiashara

Ripoti ya Human Rights Watch kwa lugha ya Kiingereza, kuishutumu Marekani katika kutoa ajira kwa watoto, bofya hapa chini:

MADE IN U.S.A.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.