Pata taarifa kuu
DRC- USALAMA

DRC: Watu 12 wameuawa Jumapili na watu wenye silaha Ituri

NAIROBI – Watu 12 wameuawa hapo jana kwenye mji wa Ituri mashariki mwa nchi ya DRC, wakati watu wenye silaha waliposhambulia vijiji viwili vya Apakolu na Kalemi, wengi ya waliouawa wakiwa wamechinjwa, kilometa 100 kusini mwa mji wa Bunia.Kutoka Beni, Erickson Luhembwe, ametutumia ripoti ifuatayo…

Bunia, mji mkuu wa Ituri.
Bunia, mji mkuu wa Ituri. AFP PHOTO/EDUARDO SOTERAS
Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.