Pata taarifa kuu
ETHIOPIA - KURA YA MAAMUZI

ETHIOPIA: Raia washiriki kura ya maamuzi ili kuundwa kwa jimbo jipya

Raia wa Ethiopia, Kusini mwa nchi hiyo, wamepiga kura kuamua iwapo nchi hiyo iwe na jimbo la 12.

Raia nchini Ethiopia washiriki kura ya maamuzi ili kuundwa jimbo jipya
Raia nchini Ethiopia washiriki kura ya maamuzi ili kuundwa jimbo jipya Michael TEWELDE / AFP
Matangazo ya kibiashara

Zaidi ya wapiga kura Milioni tatu wameshiriki katika zoezi hilo, na matokeo yanatarajiwa tarehe 15 mwezi huu.

Lakini je ni kwa nini Ethiopia imeendelea kukumbatia uongozi wa majimbo? Lee Ndlela, mchambuzi wa siasa za Kimataifa, anaeleza akiwa jijini Nairobi.

Inaweza fanya watu waungane pamoja, tena inaweza fanya watu wasikuwe na amani nchini humo.” amesema Lee Ndlela

Waziri Mkuu Abiy Ahmed tangu alipoingia madarakani mwaka 2018, ameongoza kuundwa kwa majimbo mengine mawili ya Sidama mwaka 2019 na Kusini Magharibi 2021.

 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.