Pata taarifa kuu
DRC- USALAMA

DRC: Watu 28 wameuawa usiku wa kuamkia leo Jumatatu

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, watu 28 wameuawa usiku wa kuamkia leo kwa kukatwa mapanga na kupigwa risasi na waasi wanaodaiwa kuwa wa ADF katika kijiji cha Makungwe, kilomita 60 kusini mashariki mjini Beni.Mwandishi wetu Erickson Luhembwe anaeleza zaidi

At least 811 civilians have been killed in DR Congo's Beni territory since October last year
At least 811 civilians have been killed in DR Congo's Beni territory since October last year AFP/File
Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.