Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu

Imechapishwa:

Juma hili tunaangazia siku ya kimataifa ya haki za binadamu, tarehe 10 Mwezi wa Kumi na Mbili ya kila mwaka, imeadhimishwa vipi nchini Kenya? Hususan nchi hiyo ikielekea kwenye uchaguzi mkuu, mwakani, 2017.

Polisi wakimshikilia mwanamke wakati wa maandamano siku ya kimataifa ya haki za binadamu mjini Havana, nchini Cuba.
Polisi wakimshikilia mwanamke wakati wa maandamano siku ya kimataifa ya haki za binadamu mjini Havana, nchini Cuba. REUTERS/Alexandre Meneghini
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.