Jua Haki Zako
Wanawake kupaza sauti zao kwenye kilele cha Mlima wa Kilimanjaro
Imechapishwa:
Cheza - 09:04
Wanwake barani Afrika wafanya tukio la kiharakati kwa kupanda mlima wa Kilimanjaro, nchini Tanzania, hadi kileleni, kama ishara ya kupaza sauti zao na kupambana dhidi ya mifumo kandamizi barani humu. Makinika na baadhi ya wanawake waliopanda mlima huo wakifafanua tukio hilo.