Pata taarifa kuu
Mjadala wa Wiki

Usalama na siasa nchini Nigeria

Imechapishwa:

Mjadala wa wiki juma hili, tunajadili hali ya kisiasa na usalama nchini Nigeria kuelekea uchaguzi wa urais tarehe 14 mwezi wa Februari mwaka 2015 ushindani ni kati ya rais Goodluck Jonathan wa chama cha PDP na Muhammadu Buhari wa chama cha APC.Je, tishio la usalama kutokana na mashambulizi ya mara kwa mara ya Boko Haram yana athari yoyote kuelekea uchaguzi huo  ?Martin Oloo na Abdulkarim Atiki wanachambua.

Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani John Kerry alipokutana na kiongozi wa upinzani nchini Nigeria Muhammadu Buhari jijini Lagos
Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani John Kerry alipokutana na kiongozi wa upinzani nchini Nigeria Muhammadu Buhari jijini Lagos Reuters
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.