Mjadala wa Wiki
Mahasimu katika mgogoro wa Nchi ya Sudan Kusini watia sahihi Makubaliano ya amani
Imechapishwa:
Cheza - 14:55
Katika Makala haya tunaangazia kusainiwa kwa makubaliano mapya ya kusitisha mapigano nchini Sudan Kusini. Mahasimu katika mgogoro wa Sudan Kusini ambao umeligubika taifa hilo kwa muda wamiezi 8 sasa huku Umoja wa mataifa inasema yamegharimu maisha ya watu takribani elfu moja.Jumuiya ya IGAD inayopatanisha kati ya Rais Salva Kiir na kiongozi wa waasi Riek Machar imekaribisha tukio la kusainiwa makubaliano hayo, na kuwataka Kiir na Machar kuunda serikali ya umoja wa kitaifa katika kipindi cha siku 45. Ungana nami Ruben Lukumbuka katika makala haya.