Msumbiji
Timu ya taifa ya wanawake ya Ghana yatinga fainali
Timu za Taifa za Wanawake wa Ghana na Cameroon ndiyo ambao watapambana kwenye mchezo wa fainali kuamua nani arejee nyumbani na medali ya dhabahu kutoka katika Makala haya ya Kumi ya All Afrika Games yanayoendelea Maputo nchini Msumbiji.Nurdin Selemani na taarifa zaidi
Imechapishwa: Imehaririwa: