Pata taarifa kuu
Misri

Kesi ya Hosni Mubarak kusikilizwa mjini Cairo

Kesi ya aliyekuwa rais wa Misri, Hosni Mubarak itakayofanyika wiki ijayo huenda ikafanyika mjini Cairo, mbele ya familia za walioathiriwa na vitendo vya mauaji, vyombo vya habari nchini humo vimethibitisha.

Aliekuwa rais wa zamani wa misri
Aliekuwa rais wa zamani wa misri Sean Gallup/Getty Images
Matangazo ya kibiashara

Vyanzo vya mahakama na ulinzi vilisema awali kuwa mubarak huenda atasomewa mashtaka yake yatasomwa sharm al sheikh anakoshikiliwa akipatiwa matibabu ya maradhi ya moyo yanayomkabili.

Waziri wa sheria wa nchi hiyo amethibitisha kesi ya mubarak na watoto wake kusikilizwa Cairo,na kuongeza kuwa ukumbi umetayarishwa kuwezesha mamia ya wanahabari, raia na familia za walioathiriwa na vitendo vya mauaji kuweza kupata nafasi ya kufuatilia kesi hiyo katika mahakama hiyo.
 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.